Mwanaume Ukijichua Ni Sawa Na unaijaza Mikono Yako Mimba. - RAHA ZA KITANDANI

Mwanaume Ukijichua Ni Sawa Na unaijaza Mikono Yako Mimba.


Kumwaga Mbegu Za Kiume Hovyo hupoteza Nguvu za Mwili .Unapoteza Uanaume wako kitu ambacho kitapelekea kukosa mvuto mbele ya Wanawake;kushindwa kuwa na mwonekano unaomvutia Mwanamke. 
Kwanini nafundisha madhara ya punyeto sana?
Jibu ;kwa sababu nataka kukupatia nguvu ya kuacha .Usipokuwa na sababu za kutosha kuithibitishia akili yako basi utaacha siku mbili tatu au wiki moja baadae unarudi tena kujichua! ๐Ÿ”น️Nguvu ya kuacha inatakiwa iwe juu kuliko nguvu inayokushawishi kuendelea .
Nguvu ya kuacha unaipata pale ambapo unakuwa na sababu kuntu za kwanini unaacha kujichua .Usipokuwa na sababu za kwanini unataka kuacha kujichua basi nguvu ya kuendelea kujichua itakutawala na kila siku utajikuta unajichua na kutazama picha za x ! ⚫ Nguvu ya Inayomfanya mtu ashindwe kuacha kupiga punyeto au Video  za ngono ni hii ๐Ÿ‘‡

1️⃣Haina Madhara ,waongo tu .
2️⃣Wanawake hawanitaki aisee!
3️⃣Siwezi kuacha punyeto.
4️⃣Nani atakayenipenda?
5️⃣nikijichua ndiyo nahisi Raha.
6️⃣Nikijichua ndiyo napata usingizi .
7️⃣Nikijichua Hasira zinaisha .
8️⃣Nikijichua Stress zinaisha.
9️⃣Wanawake wanaringa bora nipige nyeto tu.
๐Ÿ”ŸSina Raha ,ngoja nikapige punyeto zangu!
1️⃣1️⃣Nahisi upweke ,kukata tamaa na ukiwa .
N.k 
Kabla mtu hajaanza kupiga Punyeto au kutazama picha za ngono Kuna mazungumzo yanaanza kwanza kwenye akili yake .Na kawaida nguvu ya kujichua ndiyo inayoshinda ndipo mtu anajichua!

Nakutakia Ushindi .