Njia kuu za kufanya uke wako kua mdogo na wakubana. - RAHA ZA KITANDANI

Njia kuu za kufanya uke wako kua mdogo na wakubana.

kweli ni kwamba uke uliolegea hupunguza ladha ya tendo la ndoa kwa wanaume wengi. Tatizo la uke kulegea au kutepeta ni tatizo linalotokana na kulegea kwa misuli ya uke, hali hii husababisha Uke kulegea au wanaita Kutepeta.
Tumia njia hizi kusaidia kupunguza taatizo hilo
Njia ya kwanza:
Chukua vitunguu swaumu menya yale maganda yake ndo dawa tosha, kisha chukua moto na vua nguo zako za chini kuwa kama unafukiza uke wako. Hakikisha moshi ule unaingia moja kwa moja katika uke baada ya hapo chukua ndimu mbili kamlia katika uke wako.
Nakuhakikishia uke wako utakua mdogo wenye kubana na mmeo au mpenzio ataufurahia.
Njia ya pili:
Chukua mgagani utwange hadi ulainike kisha andaa kitambaa cheupe cotton weka ule mgagani ukifatiwa na kijiko cha asali kisha weka kile kitambaa kama muundo wa pedi ndani ya dakika 25 fanya hivyo kwa siku saba.
Pia mgagani unaeza kutumika pia kubana sehemu ya haja kubwa kwa wale waliowahi kufanya mapenzi kinyume cha maumbile twanga mgagani kisha weka sehemu ya haja kubwa.
Njia ya tatu.
Chukua kokwa za embe za kutosha zianike juani mapaka zikauke vizuri, zisage hizo kokwa ziwe unga laini
Matumizi
Chukua unga huo wa kokwa za embe ujazo kijiko kimoja kikubwa cha chakula changanya na maji ya vuguvugu ujazo wa nusu lita. Tumia hayo maji kunawa ukeni mara tatu kwa siku
Fanya zoezi hilo kila siku mpaka bibi awe mnatoooo
ZINGATIA
Uke utaanza kubana siku ya tatu tu mara baada ya kuanza kutumia dawa.