Maswali ya Anayojiuliza bikira kabla ya kufanya mapenzi - RAHA ZA KITANDANI

Maswali ya Anayojiuliza bikira kabla ya kufanya mapenzi




 Siku ya kwanza kushiriki mapenzi huwa muhimu na ya kufurahisha kwa wanawake wenye umri mdogo Wanawake bikira huwa na maswali chungu nzima na huonekana kuhofu na baadhi ya maswali hayo ni kama yafuatayo.
1. Nitahisi uchungu?  Wanawake bikira huwa na wasiwasi kuhusiana na kiwango cha uchungu watakachohisi wakati wao wa kwanza wa kushiriki mapenzi. Mwanamke ambaye hajawahi kushiriki mapenzi atakuuliza maswali mengi Habari Nyingine: Mwanamke aacha kazi ili kunyonyesha: sababu yake itakushangaza!
2. Itakuwa salama?  Mara nyingi, wanaume ndio huwajibika kutumia kinga wakati wa kushiriki ngono. Huenda bikira hajui hayo, hivyo mwanamume anafaa kutumia kondomu ili msichana huyo aepuke kupata mimba asiyohitaji na magonjwa ya zinaa
. 3. Ninyoe nywele sehemu za siri?  Wasichana wengi huhofia jinsi wanavyokaa sehemu zao za siri. Lakini ukimwambia ni mrembo na anapendeza kama mwanamke, huenda akakoma kuwa na wasiwasi.
4. Nitavaa chupi ya aina gani?  Mwanamke ambaye hajawahi kushiriki mapenzi atakuuliza maswali mengi Unaweza kumpa wazo kwa kumweleza rangi ambayo hukupendeza.
5. Ni hatari kufanya mapenzi bila kinga?  Ni wajibu wa mwanamume kumkinga. Ingawa unaweza kuwa hupendi kutumia kondomu, sisitiza kuwa mtatumia mpira na kumweleza jinsi ya kuepukana na hatari zozote
. 6. Ana uume mkubwa au mdogo? Wasichana wengi hushangaa sana kuhusiana na hilo.
7. Nitafikia kilele?  Ukweli ni kwamba baadhi ya wasichana huwa wamefanya majaribio peke yao hivyo huwa wanajua kuwa kuna kilele cha kufanya mapenzi. Hata hivyo huwa hawana uhakika ikiwa mwanamume ataweza kuwafikisha hapo. Habari Nyingine: Maajabu: Walimu wakagua chupi za wanafunzi wa kike
8. Ninunue kondomu? Image: essence.com Unapaswa kumhakikishia kuwa utamlinda kwa kununua mpira, hivyo ahitaji kuogopa.
9. Mimi ni mkubwa sana?  Wasichana bikira huwa na wasiwasi kuhusiana na miili yao lakini unafaa kumhakikishia kuwa ni mrembo na utamsaidia.