REAL STORY: Jinsi nilivyopata mimba ya stranger ndani ya vyoo vya Club. - RAHA ZA KITANDANI

REAL STORY: Jinsi nilivyopata mimba ya stranger ndani ya vyoo vya Club.



Ilikuwa ni siku ya weekend ambayo tulikuwa tuna furaha sana baada ya kumaliza kazi zetu mapema. Mimi na rafiki zangu watatu tulikuwa tumepanga nyumba hapa Jijini Dar.
Rafiki yetu mmoja alikuwa na boyfriend wake anayeitwa Joseph, na kila weekend alikuwa akitupa idea za sehemu ya kwenda kufurahia. Siku ya hii alituambia Boyfriend wake atatupitia na kutupeleka out.
Ilikuwa majira ya saa mbili usiku boyfriend wa rafiki yetu alipofika getini. Tukaingia kwenye gari yake na kuelekea kwenye restaurant maarufu hapa mjini.
Joseph: Tupitie kwanza hapa ili tupate dinner.
Tulipofika tukakutana na rafiki zake wawili ambao walikuwa wanatusubiri. Tulipata chakula cha usiku pale na baadae kuelekea Club.
Vijana hawa mmoja alikuwa anaitwa Swalehe na mwingine alikuwa anaitwa K.
Ulikuwa usiku mzuri. Tulipokuwa pale Club, rafiki yangu na Boyfriend wake walisogea pembeni na kukaa peke yao. Mimi na K tulivutiana kwa mazungumzo, tukacheka tukazungumza na alinipa campany nzuri. K aliniambia yeye alikuwa ni mtaalamu wa masuala ya IT na anaishi Arusha.
Kadiri usiku ulivyozidi na ukaribu wetu ulizidi, baadae tulitoka na kwenda eneo ambalo mziki sio mkubwa ili tuweze kusikilizana. Alinivutia kwa ustaarabu wake na alivyokuwa anaongea nilijua ni kijana mwenye ndoto za kufika mbali kimaisha.
Wakati huu rafiki yetu mmoja tulimuacha amekaa na kijana mwingine (Swalehe) ambaye tuliambiwa ndio dereva wetu usiku huo, hii ni kwa kuwa yeye hakuwa mnywaji wa pombe. Mimi na K tulikunywa kupiga stori na kucheza.
Nilijihisi kumzoea kabisa huyu kijana na nilitamani kumjua zaidi. Kwa sababu pombe ilishaniingia kichwani, nilikuwa natamani kuondoka nae muda ule ule.
Tulikuwa tunacheza mziki, nikaondoka kuelekea toilet, na yeye akanifuata (alikuwa akinisindikiza mpaka mlangoni na kusubiri)
Cha ajabu this time, nilihisi kwamba anataka kuingia toilet na mimi. Cha ajabu kuna kitu kilikuwa kinaniambia nimwambie aingie. Baada ya kumaliza kujisaidia, nilikaa hapo chooni huku nikiwaza… Wazo kubwa lililokuwa kichwani mwangu wakati huu ni huyu kijana.
Niliwaza jinsi alivyokuwa ananishika, niliwaza alivyokuwa anatabasamu na kunilinda nisisumbuliwe na wanaume wengine. Kifupi nilikuwa chooni nikitamani K aje wakati ule maana mwili wangu ulikuwa unawaka moto.
Baada ya kukaa kwa muda kule chooni, nilisikia mlango unagongwa na K aliniita jina langu. Mapigo ya moyo wangu yalikuwa yanakwenda kasi zaidi ya treni ya umeme. Nikashindwa kuitikia, nikanyosha mkono na kulegeza kitasa cha mlango lakini sikufungua kabisa.
Mlango ulifunguliwa taratibu, K akiwa amesimama hapo mlangoni aliniangalia kwa upole. Niligundua uzuri wa macho yake na wakati huu nilishapigia mstari jibu la kitu ambacho kitafanyika usiku wa leo kati yangu na K.
K: Are you okay Jas? Mbona umekaa hapa.
Sikuweza kujibu maswali yale lakini nilibaki namuangalia tu. Kichwa changu kilikuwa kinawaza vitu vingi wakati huu mapigo yangu ya moyo yakizidi kuvunja sheria ya spidi inayotakiwa. Nilishindwa nisimame nimvutie ndani au nivue nguo nimwache anifanye anavyotaka.
K: Hey simama twende zetu.
Alisema hivi huku akingia na kunishika mkono pale nilipokuwa nimekaa. Sikujua kilichotokea kwa sekunde chache, nikajikuta mikononi mwa K huku tukipigana deep kiss. Mwili wangu ulikuwa umelegea kabisa wakati huu. Nilitamani nikae chini lakini nilikumbuka hapa ni chooni, siwezi kuwa confortable.
Baada ya busu lile K alinishika mkono na kunivuta nje. Kabla ya kuingia kwenye ukumbi wa kuchezea mziki, K alinielekeza upande wa nyuma ya Club ile, akili yangu wakati huu haikuwa katika nafasi ya kuhoji ni wapi tunaelekea. Nilitamani tu anipeleke sehemu private.
Tuliingia kwenye korido moja na kukunja kwenye nyingine. Ghafla tukatokea upande wa pili wa toilet, kalikuwa kachumba kadogo kasikokuwa na mwanga, upande wa pili wa chumba hiki ilikuwa ni choo cha wanawake. upande wa pili ulikuwa uzio wa Club.
Hakukuwa na maneno tena, alinishika na kunivuta ndani ya kale kachumba. Alianza kunishika shika, kuanzia kwenye uso mpaka tumboni na kurudi juu. Kwa kweli nilikuwa sijawahi kuwa kwenye eneo kama hili maisha yangu yote. Nimewahi kufanya mapenzi ndio, lakini sio kwenye mazingira kama haya.
Kuna kitu kilikuwa kinanimbia leo tunakamatwa, na hii hali ilinifanya niwe excited sana. Hofu yangu ilizaa courage nikazidi kumfanyia vituko K. Niliposhuka na kufika kwenye mkanda wake nilikuta tayari umeshafunguliwa, mkono wangu ukapita chini moja kwa moja… alikuwa ni mwanaume mashine hivyo mkono wangu uliangukia kwenye chuma kigumu cha moto sana… Kwa wakati huu sikuwa na uwezo wa kujizuia tena.
Wazo la kukamatwa lilikuwa kichwani mwangu… lakini sikutaka kuacha. Nilijikuta namsaidia kushusha nguo yangu ya ndani chini kwa fujo, alikuwa na mikono yenye nguvu sana hivyo kila alichotaka kufanya sikuwa na ujanja wa kukizuia. Hata hivyo sikutaka kumzuia.
Tulifanya sex ya moto sana kwenye kile chumba.
Ilikuwa ni tendo lenye kusisimua kuliko yote niliyowahi kufanya katika maisha yangu. Tulipotoka pale nilishindwa kutembea vizuri kutokana na shughuli ile, nilikuwa nimelegezwa mwili na roho. Kwa kweli K alikuwa amebarikiwa kwa mambo mengi ya ndani.
Baada ya usiku ule niliondoka na K mpaka nyumbani kwa kaka yake aliyekuwa anaishi katikati ya mji, na huko nilifanyiwa michezo ambayo katika maisha yangu sijawahi kufanyiwa. Naweza kusema K ni fundi ambaye natamani anitengeneze kila siku.
Kuanzia siku ile nilikua nimefungua ulimwengu mpya katika maisha yangu. Nilikaa siku mbili bila kuwasiliana na K. Haikuwahi kunitokea kufanya mapenzi na mwanaume ndani ya Club na sijawahi kufanya mapenzi na mwanaume ambaye simjui vizuri.
K alinipigia simu baada ya siku tatu, tukaongea sana halafu akanimbia anarudi kwao ambako anafungua kampuni yake ya IT. Tangu aondoke sikuwahi kufanikiwa kumpata kwenye simu na hata nikimtumia meseji kwenye Whatsapp amekuwa hajibu.
Baada ya mwezi mmoja na nusu baada ya K kuondoka, niligundua kwamba nina mimba. Mpaka sasa sina mawasiliano tena na K na imepita miaka miwili.
Nilifanya jitihada za kumtafuta lakini sikufanikiwa, na ilifika muda sikutamani tena kumtafuta. Leo nina mtoto wa kiume nimemwita Bahati.