TID AVAMIWA NA WAHUNI ALA KICHAPO mwenyewe aongea - RAHA ZA KITANDANI

TID AVAMIWA NA WAHUNI ALA KICHAPO mwenyewe aongea

Msanii mkongwe wa kizazi kipya TID amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuvamiwa na majambazi ambao hawakufahamika ni kina nani.
 Msanii huyo anayejulakana kwa kuwa na mbwembwe nyingi katika mahojiano na jukwaa alipost picha inayomunesha akiwa ameumizwa vibaya na watu hao na kuandika

"Washamba Bwana Wakiona tu Unasikika wanaamua kukupiga hivi .... It's so Sad Jambazi anaeza kukufanyia chochote sababu yeye Jambazi na Yuko na Back Up za Kijambazi #RevengeoftheNinja"


Hata hivyo hakutanabaisha ni kina nani hasa na walitaka nini achilia mbali pengine waliweza kupora chochote kutoka kwake