NIMEMJUA MWANAMKE ANAETEMBEA NA MUME WANGU,, NIMEUMIA SANAAA, NAOMBENI USHAURI WENU - RAHA ZA KITANDANI

NIMEMJUA MWANAMKE ANAETEMBEA NA MUME WANGU,, NIMEUMIA SANAAA, NAOMBENI USHAURI WENU



Hakuna kitu kinachomfanya mwanaume ajisikie vizuri katika mahusiano kama kuwa na uwezo wa kumfikisha mwanamke kileleni. Kuna usemi ulisikika katika kituo cha radio Clouds fm kwamba “ukitaka bidhaa yoyote ifanye vizuri sokoni, sema inasaidia kuongeza nguvu za kiume”
Ingawa kumfikisha kileleni mwanamke ni moja kati ya vitu wanavyotaka kufanikisha wanaume, wengi hawajui alama za mwanamke aliyefika kileleni. Je ni kelele za utamu anazopiga? Ni muda mrefu unaotumia mchezoni? Au ni ni alama gani zinazoonesha kuwa mpenzi wako amefikia ameridhika?
Hizi alama tano ni baadhi tu ya alama nyingi zinazoonesha mrembo wako umemkuna vizuri.
Hasisimki unapomgusa
Ikiwa uko kwenye mchezo na mpenzi kuna michezo mingi ya kuongeza utamu kwa pande zote. Ukishika hapa yeye anashika hapa yaani raha ni kushikana shikana, kunyanyua na kupandisha kila kilicholala ili kazi ya kukishusha inoge.
Wakati huu, wawili hushikwa na uchizi na aibu zote za kidunia zinapotelea kwenye viungo vya mwili.
Mrembo wakati huu huwa anakuwa na mhemko wa ajabu akishika bakora na wewe ukipitisha mikono kwenye papuchi iliyojaa majimaji yanayosabishwa na hamu ya kuingiliwa.
Ikiwa mrembo wako hasisimki wala kushtushwa na papaso zako wala mitekenyo ya kiufundi unayompelekea, basi kuna uwezekano mkubwa kwamba kazi unayoifanyaga sio ya kuridhisha.
Japokuwa kuna wakati mrembo anaweza kuwa na mawazo mengi na akili yake ikawa nje ya uwanja… wewe ndio utakuwa judge.
Anakuwa muelekezaji mkuu
Umeshazama dimbani, uko bize unatia ufundi wako wote wa kuzungusha mkwaju ukitegemea mrembo aipate raha yako yote, lakini yeye anaanza kukuelekeza jinsi ya kumfanyia.
Mara go faster, mara fanya hivi, mara touch my nose sijui nini. Huyu ujue bado hujampa kitu anachotaka kutoka kwenye sex. So unachotakiwa kufanya ni kumsikiliza na kufanya vile anavyotaka.
As much as baadhi ya vitu vinaweza kuwa uncomfortable kwako, jaribu kuvifanya kama kweli unataka kumridhisha mtu wako. Jipinde mwanaume utumike vizuri la sivyo utafika wakati wanaojua kunyoosha watakunyooshea mchumba.
Hajisikii kufanya mapenzi na wewe
Umekaa na genye zako unatarajia kwamba leo ukimtia mkononi utampa dozi ya uhakika. Lakini akirudi nyumbani hana habari… Unagusa hapa na pale lakini mtoto anakuangalia tu kama kiporo, hapo kuna shida.
Kama mpenzi wako amekuwa haridhiki na shughuli unayompatia kitandani, ni rahisi kukosa appetite. So ikiwa mlikuwa mmezoea kufanya mapenzi kila baada ya siku moja halafu ghafla mtoto anaanza kukwepa mjeledi wako. Basi kuna vitu viwili hapa vya kuchunguza.
  1. Pengine ametingwa na mawazo au stress za kazi, familia au kazini
  2. Hujafanya kazi yako vizuri na sasa hataki kukupa tena umuachie shombo (harufu ya samaki)
Hajali kama ataridhika
Wewe umerudi zako kutoka kazini unakuta mtoto yuko happy nyumbani (dancing to her favourite Rihanna’s song)
Mzee mzima unaomba mzigo, lakini kwa kuwa shughuli yako huwa ni chini ya kiwango mtoto wa watu anajua tu utamchosha chosha bila kumfikishia Ogasm kama anavyotarajia kutoka kwako.
Sasa kwa kuwa anakupenda na unatia huruma ukinyimwa, anaamua kukupa hivyohivyo ujimalize mwenyewe… Lakini hapa analala tu kama gogo uhangaikie raha zako mwenyewe… Ukimaliza utafunika uende zako kuoga.
Ameshakukatia tamaa anaona ni bora asijisumbue kutafuta hiyo orgasm kabisa. Kuwa makini akifikia hapa, kuna uwezekano vijana wachapa kazi wengine wakampa dozi akufungie vioo mara hiyo hiyo.
Hataki kukumbatiana na wewe baada ya mchezo
Ukiona zamani mrembo wako alikuwa anahitaji kumbato lako kila mnapomaliza mchezo lakini sasa hivi vitu vimebadilika. Itisha FBI hapo kuna tatizo la kufanyiwa uchunguzi.
Inawezekana vipo vitu vingine vinavyosababisha asitake ku-cuddle na wewe baada ya kumpa dozi yake.
Lakini kama dozi hujaitoa kiasi cha kumshushia hamu yake aliyonayo, anakuona kama umemtia shombo na hataki kuwa karibu na wewe… Weka mikono yako mbali na mtoto wa watu.
Angalizo ni kwamba, hizi ishara na vitendo hivi havimaanishai kwamba mrembo wako akivifanya ni lazima vimaanishe kuwa hajaridhika… Yapo mambo mengine katika mahusiano yako yanaweza kusabisha moja kati ya ishara hizi kwa mpenzi wako.