MTUMIE SMS HIZI MPENZI WAKO ITAONGEZA KITU KWNYE PENZI LENU - RAHA ZA KITANDANI

MTUMIE SMS HIZI MPENZI WAKO ITAONGEZA KITU KWNYE PENZI LENU


Niseme nini ujue nakupenda? Nifanye nini ujue nakupenda? 
Nikuite jina gani ujue ni wewe peke yako upo moyoni 
mwangu? Hakika hakuna ila moyo wangu ndio unaosema kuwa 
nakupenda, niamini mpenzi
   *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*


upendo ni jibu kwamba kila mmoja anataka. . . .
upendo ni lugha ,
kwamba kila mmoja anaongea,
upendo hauwez kununuliwa,
na isiyo kadirika na ya bure,upendo kama uchawi safi,ni 
siri ya maisha matamu
     nakupenda mpenzi
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*


"Mimi sitaki kuwa kila kitu kwa kila mtu, lakini napenda 
kuwa kitu kwa mtu.na mtu mwenyewe ni wewe"
nakupenda laazizi
"Kama mimi nilikuwa na maua  kila wakati
mawazo yangu 
yangekuwa juu yako,nisingefikiri wa kumpa mwingine kabla 
yako je wewe ungekuwepo nayo
 ungempa nani kwanza? "
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*


ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na 
likutumiwa vibaya halina maana wala thamani. neno hilo 
haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila tu 
Linatokea Bila kujua na halina sababu.neno hilo mi 
mwenyewe silijui ila ndo linatufanya tuwe pamoja Japo tupo 
Kasi Na Kusi. Nakupenda sana Dear
      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 


naukunjua moyo wangu huishi milele maishani ,nafungua 
nafsi nikupende wewe pekee,nafunga milango ya moyo wangu 
ili 
kutokupokea ugeni wowote wa moyo zaidi yako 
mpenzi.nakupenda sana laazizi       
      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•


sipo tayari kuukabidhi moyo wangu kwa mwingine zaidi 
yako,wewe ni wa pekee maishani mwangu mwenye kujua hisia 
moyoni mwangu 
mpenzi nipende daima pendo lako nitalienzi, nakupenda 
       •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 


mapenzi si pombe  lkn yanalewesha, wala si kidonda  lakini 
yanatonesha,wala si maradhi lakini yanaumiza, wala  si 
njaa lakini yanakondesha ,mapenzi ni uvumilivu kwa 
unaempenda
      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 


mapenzi ni safari=unifanye nauli ya moyo, mapenzi ni 
maradhi=unifanye daktari ni kutibu maradhi yako,mapenzi ni 
kiu=niwe maji jangwani,mapenzi ni chakula=nikulishe 
maishani mwako na uwe asali moyoni mwangu
       •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• 


wengi hupenda fanta kwa ladha yake,wengine hupenda 
pilipili kwa muwasho wake,wengine hupenda asali kwa utamu 
wake ila mimi nakupenda wewe kwa upendo wako.
      •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•