Wanaume Mnao Jisifia Mnajua Mambo Sita kwa Sita Mnaboa Wengi Si lolote..One Minute Man - RAHA ZA KITANDANI

Wanaume Mnao Jisifia Mnajua Mambo Sita kwa Sita Mnaboa Wengi Si lolote..One Minute Man



Umekutana na Jamaa very Handsome...Very Smart..Kajazia misuli UKAMTAMANI...Yaani kila ukimwangalia Pichu inajaa udambwidambwi...Unampatia Picha Ukimpa Mzigo jinsi atakavyoimanua vizuri...SIKU YA SIKU UMEJIANDAA UMEMPA SHOO....Jamaa yuko bize anapiga mikelele ya shangwe kuita wazungu wakati wewe wala huoni anachofanya and ur wondering,"WHAT IS THIS NIGGA DOING ON TOP OF ME"
Imewahi kukutokea???
Halafu MBAYA ZAIDI baada ya kukuru kakara zisizo na faida yoyote kwako na kupakwa shombo la maana na kuwa disappointed jamaa linashuka na kukuuliza
"BABE HOW WAS IT"..Teh teh,Hapa wanaume tunapewaga jibu la kisiasa tu IT WAS FINE...halafu ananyanyua gagulo lake anaenda bafuni akirudi utasikia
"I think we should go,Nimekuta Missed call za Mum"
HUPEWI TENAAAAAA....Wanaume ukiona umepewa mara 1 ukiomba tena unazungushwa kama unafuatilia TIN NUMBER ofisi ya TRA ujue ULIFELI DAY 1...Akupe tena ili iweje??
UKIPEWA PAKUA HASWA..Ukishuka mtu alale kama masaa2 hivi ndo akumbuke kuna mama home...Sio mtu unashuka nae anabeba taulo..HUJAFANYA KITU BLOO!
poooooooo imejipost